Tofauti ya LED na Smart TV

  • Posted 1 September 2021
  • By Elvis Benjamin

LED ni Technology ya kioo cha TV yenye maana ya Light Emitting Diode. Smart TV ni TV yenye uwezo wa kuunganishwa na intaneti. Kiufupi TV inaweza kuwa vyote kwa mara moja. TV inakuwa smart tv na kioo chake ni LED. Pia TV inaweza kuwa imetengenezwa na vioo vingine kama QLED, OLED,na LCD.

Soma muongozo huu kuhusu TV

All Rights Reserved @ Impala 2021